![Izudin Alwy Ahmed](/img/default-banner.jpg)
- Видео 4 933
- Просмотров 27 105 927
Izudin Alwy Ahmed
Кения
Добавлен 31 авг 2012
Darsa msikiti jamia kitui
Видео
SUNNAH ZA KHATIBU WA KHUTBAH YA IJUMA
Просмотров 5402 дня назад
SUNNAH ZA KHATIBU WA KHUTBAH YA IJUMA
Просмотров 3232 дня назад
Powered by Restream restream.io NAMNA YA KUFURAHIA EED
VITA HATARI ANAVO PAMBANA NAVO MUUMIN
Просмотров 1,3 тыс.2 дня назад
This stream is created with #PRISMLiveStudio
UKILA KWA BATILI UTAKAA NJAA KWA HAKII .
Просмотров 1,9 тыс.10 дней назад
This stream is created with #PRISMLiveStudio
UMEJIFUNZA NINI
Просмотров 75511 дней назад
MAANA YA KUFRAHIA SIKU YA EED
Просмотров 1,9 тыс.15 дней назад
This stream is created with #PRISMLiveStudio
Asalam alaykum.
Wacha kudanganya watu,mushrik
Ingependeza ndugu yangu ukanielezea kwauzuri na upole nandanganya kwa jambo gani ili nisiregelee hilo jambo mara nyingine . na sio uzuri kumuita mwenzako mushrik nihatari mm naamini hakuna mola anae faa kuabudiwa ila ni Allaah pekeyake . sijui nijambo gani nililp mshirikisha mola wangu .nieleze nipaye kuliacha . naomba unielezee hapa aw ruhsa utoe clip uelezee mm nimekosea wapi na kwa jambo gani mpaka inaniita mushrik?
Khatari Iliyokuwepo Huenda Mushiriki Ukawa Niwewe. Uwe Usurubi Yakumwambia
YARABI anisamehe thambi na wazazi wangu atujaaliye mwisho mwema amin 🤲 amin 🤲 YARABI amin 🤲🤲🤲🤲🤲
Shukran sana sheikh Allah kuzidishie elimu na hekma Amiin yaa Allah
Asalamu alekum sheikh nauliza kuitikia mwadhini ni Wajib ama mtu aspoitikia hana dhambi
TUNAAMBIWA TULALE NA UDHU JE HII IMEKAAJE KWA ALIEKUSHAOA?
Maa Shaa ALLAH 💚
Kweli shekh unayo yaongea naimani tutasimama imara
Allah atujaalie ni wenye kuyaskia na kuyafwata
AMIN
Masha Allah
Ameen
Asalam alaykum.
Allah yuko na wao na sisi Aameen Swalaa ni muhimu na ndio njia ya kuwa karibu na Allah SWT.
ALLAH Akupe Umri Mrefu Wa Kheri Yaa RABB
Amiina🙏🙏🙏🙏🙏❤❤❤❤
Amin Amin Ameen Ameen Ameen
Inshallah Ameen
Mohammad Bachu Unauporomosha Uwahabi tokeahapo hauna mashiko
Maa Shaa ALLAH ❤
MashaAllah❤😂
Maa Shaa ALLAH 💚
السلام عليكم۔ Natafuta sheikh ni some naye tafseer Quran. Sheikh gani afunza Quran tafseer kwa fusha? shukran
Naomba namba ya huyu sheikh wetu tafadhali mwenye nayo anisaidie
+254722611120 whtsapo +254772611120
@@IzudinAlwyDin alhamdulillah
Assalam aleikum ustadh samahani naomba unifate inbox
Masha Allah... nimefaidika sana kusikiliza.
Allah akuhifadh
جزاكم الله خير
SubhanAllah mola atuongoze
Maa Shaa ALLAH 💚
Allah awasamehe na cye tuwe na mwisho mwema Allah humma mamiin
Masha Allah! Shukran jazeelan nimejifunza mengi
Jazzakah llahu kheir ustadh
Amiin yaa Rabb
Maashaallah
Amee
Maa Shaa Allaah Sheikh Mbona Microphone imepat nini - nyeupe (stain) katika microphone
Maa Shaa ALLAH 💚
Namba za simu
Amiin 🤲 😊
Mimi nauliza je yafaaa kumpa talak tatu ilihali yuko ktk nifas? Na je eda yake ni ipi?
Mbona kumejengewa hivo sasa jamani je nafasi itabakia ya kuzika wingine? Fikirieni na hilo pia musijengeeni makaburi
Dogo saiv ana ziara ya kidaawa akirudi tu mbona utaelewa sheikh izzudiyn wala usiwe na wasiwasi INSHAALLAH
nitafrahi nikieleweshwa nakuomba muombe akubaali kukaa mm na yy anieleweshe . na mola atakubarikie . na mm natamani sana nipewe ilimu yakufaham haki zaidi . shukran
@@IzudinAlwyDin tusubiri arudi halaf yyy mwenyew ataamua kukuelewesha kama ulivofanya we au kukaa chini we na yy mukaeleweshana ila me niseme tu sisi sote tunatafuta haqq kwaiyo tusiwekeane hassad sisi ni ndugu katika uislam
@@khamisali5942 Nafrahi kuskia hivyo na nataka ujue mm na yy ni marafiki sana na twaongea vizuri hatuna chuki wala kinyongo kabisa namuhishim sana . ila haya nimambo ya kiilimu ni muhim kuiimishana ki ustarabu na kiadabu na kutovunjiyana hishima . na urafiki na undugu utabaki palepale .
@@IzudinAlwyDin nashkur sheikh Izzudiyn kwa kutext na we namuomba Allah atupe elimu tuijue haqq na tufanye ibada vile mwenyew anavoridhia INSHAALLAH
Naam sadaqta
Asalam alaykum.
Allh akbar
SUBHANALLAH
Maneno yalijawa hekma Shukran sheikh Ikiwa n wa kuelewa ataelewa Sio kukimbilia kwenye mitandao na kujifanya yuajua na kumbe ni kina haulai
Asalam alaykum.
Maa Shaa ALLAH 💚.
Mimi nitaifuata saudia nikiwa arafa nikiwa makka sionikiwa afrika